1 / 123

VITA VYA IMANI Azania Front Cathedral Morning Glory Tarehe 23-27 Aprili, 2012

KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI. IMANI YA USHINDI1Yohana 5:4. IMANI YA USHINDI. 1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu." . IMANI YA USHINDI. Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura n

lenka
Download Presentation

VITA VYA IMANI Azania Front Cathedral Morning Glory Tarehe 23-27 Aprili, 2012

An Image/Link below is provided (as is) to download presentation Download Policy: Content on the Website is provided to you AS IS for your information and personal use and may not be sold / licensed / shared on other websites without getting consent from its author. Content is provided to you AS IS for your information and personal use only. Download presentation by click this link. While downloading, if for some reason you are not able to download a presentation, the publisher may have deleted the file from their server. During download, if you can't get a presentation, the file might be deleted by the publisher.

E N D

Presentation Transcript


    1. www.mgisamtebe.org VITA VYA IMANI Azania Front Cathedral Morning Glory Tarehe 23-27 Aprili, 2012

    3. IMANI YA USHINDI 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

    4. IMANI YA USHINDI Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili ya ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani mwake.

    8. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Utangulizi; Yesu na Pepo Sugu Mathayo 17:9-20.  

    9. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 Yesu aliposhuka kutoka mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia Yesu miguuni na kumsihi akisema …

    10. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 Bwana Mkubwa, ninaomba umponye mwanangu, ana pepo la kifafa; na mara nyingi limemwangusha katika maji na katika moto, ili kumdhuru, lakini amesalimika …

    11. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 … Nimemleta kwa wanafunzi wako, lakini wameshindwa kumtoa huyu pepo. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘nitakaa nanyi hata lini?mleteni kwangu’

    12. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea yule pepo, na likamtoka mara moja na kumwacha kijana akiwa huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu kwa furaha.

    13. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 19 Kisha wanafunzi wake wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule Pepo?”

    14. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 20 Yesu akawajibu na kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu; (au ni kwasababu ya imani yenu kuwa ndogo) …

    15. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 20 “… Lakini kama mkiwa na imani kama punje ndogo ya haradali, (iliyo na tabia na uwezo wa kukua, kuliko miti yote ya mboga, na kukua hata kuwa mti mkubwa) (Mathayo 13:31-32)

    16. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 20 “… (hakika mngetembea na kiwango kikubwa cha nguvu za Mungu) kiasi cha kuweza kuhamisha mlima, (kwa nguvu ya neno lako), ungehamia upande ule. (mafafanuzi yameongezewa)

    17. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 20 “… (Nanyi mngetembea katika kiwango ambacho), hakuna jambo litakuwa la kushindikana kwenu. (mafafanuzi yameongezewa)

    18. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 21 Lakini (mapepo) ya namna hii, hayatoki isipokuwa kwa kufunga na kuomba. (mafafanuzi yameongezewa)

    27. IMANI YA USHINDI 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

    28. KANUNI ZA KIROHO Imani ni moja ya Kanuni za kiroho, ambazo, tukizitumia maishani, zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio.

    29. IMANI YA USHINDI 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

    30. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani, hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

    31. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:6 ‘Pasipo Imani haiwezekani kumpendeza Mungu.’

    32. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 10:38 ‘Mwenye haki wangu, ataishi kwa Imani, naye akisitasita, Roho yangu haitamfurahia.’

    33. MAANA YA IMANI Imani ni nini? Waebrania 11:1

    34. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ikiwa imani ndiyo siri ya ushindi wetu duniani na ikiwa imani ndio kitu kinachokufanya uwe rafiki wa Mungu ili kutembea naye duniani; Imani ni nini?

    35. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.

    37. 26 September 2012

    42. Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 3 ˝ 3 ˝ 30 3 ˝ 600 Injili Ulimwengu wa Roho 2000 700 Kanisa 2000 700 Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15 (3) Isaya 9: 6 Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo 33BK

    49. 26 September 2012

    50. 26 September 2012

    51. 26 September 2012

    52. 26 September 2012

    53. 26 September 2012

    54. 26 September 2012

    55. 26 September 2012

    56. 26 September 2012

    57. 26 September 2012

    58. 26 September 2012

    59. 26 September 2012

    60. 26 September 2012

    61. 26 September 2012

    62. 26 September 2012

    63. 26 September 2012

    64. 26 September 2012

    65. 26 September 2012

    66. 26 September 2012

    67. 26 September 2012

    68. 26 September 2012

    69. 26 September 2012

    70. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.

    71. KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea katika imani ipo katika kutabiri na kuyakiri yale uyatakayo, baada ya kuyafanya yatokee (kuyaumba) kwa njia ya maombi kwa Ushirika na Roho Mtakatifu (Marko 11:23-24)

    72. 26 September 2012

    73. 26 September 2012

    74. 26 September 2012

    75. 26 September 2012

    76. 26 September 2012

    77. 26 September 2012

    78. 26 September 2012

    83. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.

    84. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho (Tumaini) (Imani) Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia Kuanza Kupokea Kudhihirka Maombi (Ndani) (Nje) U’Mwilini

    85. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….” Kuanza mnayapokea yatakuwa maombi (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa mwili

    86. KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea katika imani ipo katika kutabiri na kuyakiri yale uyatakayo, baada ya kuyafanya yatokee (kuyaumba) kwa njia ya maombi kwa Ushirika na Roho Mtakatifu (Marko 11:23-24)

    87. KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea katika imani ipo katika; Kuyaumba yale uyatakayo kwa njia ya maombi. Kutabiri na kuyakiri yale unayotaka yatokee. (Marko 11:20-24)

    88. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Yesu na Mti wa Tini Marko 11:12-14, 20-24.  

    89. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24  12 Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.

    90. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24  13 Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.

    91. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24   14 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo.

    92. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 20 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

    93. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!’’

    94. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 22 Yesu akawaambia, mtu yeyote, atakayeuambia mlima huu, ng’oka na ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake…

    95. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 23 … Bali aamini kwamba hayo uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika kuonekana na kushikika.

    96. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

    97. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 Swali 24 Ikiwa tayari nimeshapokea “sasa”, kwanini hilo jambo liwe langu “baadaye” na sio sasa?

    98. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 Swali 24 Hiyo “baadaye” ni ya nini ikiwa tayari nimeshapokea hili jambo “sasa”?

    99. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 Swali 24 kwanini lisiwe langu “sasa”, badala yake litakuwa langu “baadaye” na sio sasa? Wakati tayari nimeshapokea “sasa”?

    100. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

    101. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

    102. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 Mtu wa Mungu, hataweza kuelewa kitu Yesu aliongea hapa, kama hajui namna Mungu anavyofanya mambo, kwa kanuni zake duniani. ~ Njia (Style) za Mungu ~

    104. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho (Tumaini) (Imani) Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia Kuanza Kupokea Kudhihirka Maombi (Ndani) (Nje) U’Mwilini

    105. KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea katika imani ipo katika kutabiri na kuyakiri yale uyatakayo, baada ya kuyafanya yatokee (kuyaumba) kwa njia ya maombi kwa Ushirika na Roho Mtakatifu (Marko 11:23-24)

    106. KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea katika imani ipo katika; Kuyaumba yale uyatakayo kwa njia ya maombi. Kutabiri na kuyakiri yale unayotaka yatokee. (Marko 11:20-24)

    107. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….” Kuanza mnayapokea yatakuwa maombi (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa mwili

    108. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.

    109. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

    110. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho (Tumaini) (Imani) Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia Kuanza mnayapokea yatakuwa maombi (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa mwili

    111. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.

    112. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….” Kuanza mnayapokea yatakuwa maombi (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa mwili

    113. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Imani ya Baba Ibrahimu Warumi 4:16-20.  

    114. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 17 Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele za Mungu

    115. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

    116. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 19 Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake na alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara, ambalo lilikuwa kama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja na Sara miaka 90.

    117. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

    118. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

    119. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko katika tumbo la Sara)

    120. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

    121. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.  

    122. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Siri ya kutembea katika imani ipo katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

    123. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani, hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

    125. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Kwanza; 1. Kutambua Nguvu ya Neno la Mungu Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17

    126. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (Warumi 10:17) ‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima, huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.

    127. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 4:12 ‘Neno la Mungu li hai, tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta mabadiliko)

    129. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2Timotheo 3:16-17 ‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu, lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’ (mafafanuzi yameongezewa)

    130. NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    132. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 4:12 ‘Neno la Mungu li hai, tena lina Nguvu (za kuumba na kuleta mabadiliko)

    140. Sehemu za mwanadamu Kwa Mfano; Binadamu = Roho + Nafsi + Mwili Mtu

    141. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU Mwa 2:7

    142. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU Mwa 2:7 Mtu Fikra Hisia Maamuzi

    143. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU Mwa 2:7 Mtu Nyama Damu Mifupa Mwanadamu

    150. NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    157. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waebrania 4:12 “Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

    159. NGUVU YA NENO 2Kor 3:6, Yoh 6:63 ‘Andiko linauwa, lakini Roho anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni Uzima; kwasababu’

    160. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17

    161. NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 ‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.’

    162. NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    163. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

    164. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Maneno yangu ni Roho nayo ndio Uzima’

    166. NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    167. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Yesu na Mti wa Tini Marko 11:12-14, 20-24.  

    168. HATUA ZA IMANI YA USHINDI 2. Nidhamu ya Kuomba Kwa Bidii Mpaka Kusababisha Uumbaji Kutokea Rohoni. Yakobo 5:17-18, 16 1Wafalme 18:29-45

    181. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Utangulizi; Yesu na Pepo Sugu Mathayo 17:9-21.  

    187. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 17:9-20 Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake hawakuishi Maisha ya Maombi, Ndio maana hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha, kuondoa lile tatizo.

    188. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Wafalme 18:41-44 Nidhamu ya Maombi ya muda mrefu, inahitajika sana katika kusababisha uumbaji ya mambo katika ulimwengu wa roho, tunayoyahitaji sana katika ulimwengu wa mwili.

    189. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Wafalme 18:41-44 Kwa Mfano wa; Nidhamu ya Kuku anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga

    190. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho (Tumaini) (Imani) Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia Kuanza Kifaranga Kifaranga Kulalia kucheza kototoka (Ndani) (Nje) Mwilini

    191. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

    192. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.

    194. Marko 11:23-24 Ulimwengu wa roho Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….” Kuanza mnayapokea yatakuwa maombi (sasa) (baadaye) Ulimwengu wa mwili

    203. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Siri ya kutembea katika imani ipo katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

    204. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Tatu; 3. Usikivu kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu Warumi 8:16, 26-27 2Tim 3:16-17

    205. SIRI YA KANISA LA LEO Warumi 8:16 ‘Wale wanoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.’

    206. SIRI YA KANISA LA LEO Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni Msaidizi wako.

    207. SIRI YA KANISA LA LEO Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk kuitambua sauti yake (signal) kuisikia sauti yake (kuelewa) kuitii sauti yake (kutenda)

    208. USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Lakini kikubwa zaidi; Roho Mtakatifu anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani Yohana 16:13

    209. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

    210. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU Namna za KAWAIDA 1. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – Rhema) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11 (1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

    211. KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU Namna za KAWAIDA 2. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru/Wepesi) (Isa 55:12, Kol 3:15) (Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)

    213. Namna za KAWAIDA 3. Kwa Neno lake (Neno liliandikwa - Logos); (Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)

    214. USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU Kwahiyo; Roho Mtakatifu anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani Yohana 16:13

    215. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu, atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

    216. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Nne; 4. Kusifu, Kuabudu na Kushukuru 2Nyakati 20:1-30 Matendo 16:13-25-36

    217. Imani ya Ushindi 2Nyak 20, Mdo 16 Kumsifu, Kumshukuru na Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna ya ajabu …

    218. Imani ya Ushindi 2Nyak 20, Mdo 16 … ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho. unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu wa mwili.

    219. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Tano; 5. Kufungulia kwa Kuamuru na Kutabiri 1Wafalme 18:41-45 Ezekieli 37:1-14

    220. Imani ya Ushindi Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

    221. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Sita; 6. Ujasiri wa Kukiri na Kushuhudia kwa Ushindi Warumi 4:16-20 Mithali 18:20-21

    222. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 (23) Amini Amini nawaambia ya kwamba, mtu yeyote, atakayeuambia mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione mashaka moyoni mwake …

    223. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Marko 11:12-14, 20-24 (23) … bali aamini kwamba hayo uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika katika ulimwengu wa mwili).

    224. KUTEMBEA KWA IMANI 6. Kukiri Ushindi kwa Imani Siri ya kutembea katika imani, pia ipo katika kuyakiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu, katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

    225. KUTEMBEA KWA IMANI 6. Kukiri Ushindi kwa Imani Mambo tuyasemayo, kwakuwa tayari yameumbika katika Ulimwengu wa kiroho (yametukia); yataruhusu Nguvu za Mungu kuingia kazini kuyaumba katika Ulimwengu wa mwili (yatakuwa yake).

    226. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Maneno yana nguvu ya kuumba! Waebrania 11:3 Yohana 1:1-4

    227. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:3 Yohana 1:1-4 Ulimwengu uliumbwa kwa Nguvu ya Neno la Mungu

    228. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani, Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno maishani mwako.

    229. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

    230. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waefeso 4:29 Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo jema, la kumfaa msikiaji.

    231. KUTEMBEA KWA IMANI 6. Kukiri Ushindi kwa Imani Siri ya kutembea katika imani, pia ipo katika kuyakiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu, katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

    232. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Imani ya Baba Ibrahimu Warumi 4:16-20.  

    233. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 17 Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele za Mungu

    234. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

    235. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 19 Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake na alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara, ambalo lilikuwa kama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja na Sara miaka 90.

    236. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

    237. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

    238. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko katika tumbo la Sara)

    239. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

    240. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.  

    241. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Siri ya kutembea katika imani ipo katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

    242. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani, hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

    243. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    244. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

    245. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi. Macho ya rohoni Mawazo ya ushindi Maneno ya Ushindi

    246. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Baada ya kupata Uhakika moyoni mwako (Imani) Badilisha Mtazamo wako (Vaa Neno Machoni) Waefeso 1:15-19

    247. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 1:15-22 ‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mpate kujua; Tumaini tulilonalo Utajiri tulionao Nguvu tulizonazo

    248. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Nabii Elisha na Mtumishi wake 2Wafalme 6:10-17  

    249. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    250. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Uwezo wa Kuona Fursa mbalimbali za Kiuchumi 1Wakorintho 2:9-10, 16  

    251. KUTEMBEA KWA IMANI 1Wakorintho 2:9-10 ‘Mambo ambayo macho hayapata kuyaona, wala masikio hayajawahi kusikia, wala hayajawahi kuingia katika moyo wa mtu; mambo hayo Mungu amewahifadhia wale wampendao’

    252. KUTEMBEA KWA IMANI 1Wakorintho 2:9-10 Uwezo wa mtu kuona fursa mbalimbali za kiuchumi unategemea sana na Namna macho yako ya ndani (mind set) yalivyo.

    253. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Hajiri na Kijito cha Maji Mwanzo 21:14-20  

    254. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.

    255. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

    256. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-20 Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

    257. KUTEMBEA KWA IMANI Warumi 4:16-20 Kila mtu alimwona Sara bibi kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia vizuri na kumtaja vizuri.

    258. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9 Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao. 

    259. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19 Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na (3)nguvu zilizo ndani yetu.

    260. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kuwaza Sawasawa ‘Kujitambua kwa Asili ya Kimungu’ Mithali 23:7

    261. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

    262. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo

    263. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    264. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu Waamuzi 6:1-16

    265. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za Mungu ndani yake.

    266. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona MTUMWA.

    267. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa ndani yake ziliingia kazini (ON).

    268. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona na kujiwazia (kitumwa).

    269. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote ya kibinadamu. Wamidian 30,000 : 300 Waisrael Wamidian 100 : 1 Waisrael

    270. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

    272. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21

    273. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, Kumbe Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).

    274. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;

    275. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.

    276. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)

    277. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

    278. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.

    281. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21

    282. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua Mawazo ya Ushindi Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

    283. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

    284. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7 ‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’ (Rum 12:2, Efe 4:20-24)

    285. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo

    286. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 3. Kukiri Ushindi Kutamka maneno ya Baraka Yoh 6:63, Mith 18:20-21

    287. Kutembea na nguvu za Mungu Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na kuona vizuri. Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

    288. Kutembea na nguvu za Mungu (3) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2

    289. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo Maneno

    290. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    291. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waebrania 4:12 “Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

    292. NGUVU YA NENO 2Kor 3:6, Yoh 6:63 ‘Andiko linauwa, lakini Roho anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni Uzima; kwasababu’

    293. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17

    294. NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 ‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.’

    295. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

    296. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Maneno yangu ni Roho nayo ndio Uzima’

    297. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoeli 3:10 Yeye aliye dhaifu, na aseme mimi ni hodari. (aliye dhaifu, asikiri udhaifu wake, bali akiri ushindi, kama njia ya kubadili au kuondoa udhaifu wake).

    298. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Wakolosai 3:16 Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.

    299. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waefeso 4:29 Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo jema, la kumfaa msikiaji.

    300. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Saba; 7. Kufanya Tendo la Imani Yakobo 2:17-18,26

    301. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 2:17, 26 Kama vile mwili pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo, pia imekufa.

    302. KUTEMBEA KWA IMANI Yakobo 2:17, 26 Kufanya Tendo la Imani, kunasaidia kuikumbusha nafsi yako kwamba; “tayari umevuka”

    303. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Ibrahimu; Kubadili Majina yao, Abramu – Ibrahim Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

    305. Imani ya Ushindi na Mafanikio Yakobo 2:17,26 Baraka za Mungu katika maisha yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya kufanya Kitendo cha imani kuashiria Ushindi na Mafanikio.

    306. Imani ya Ushindi na Mafanikio Kwa Mfano; Imani ya Baba Ibrahimu Mwanzo 12:1-3 Mwanzo 13:1-3

    307. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 12:1-3 ‘Bwana Mungu akamwambia Ibrahimu, Nitakubariki sana hata kukufanya wewe uwe baraka. Nitalikuza jina lako, na mataifa yote yatabarikiwa kupitia wewe’.

    308. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 13:1-3 2. Naye Ibrahimu akawa tajiri sana, katika mifugo, na katika fedha na katika dhahabu’.

    310. Imani ya Ushindi na Mafanikio Kwa Mfano; Imani ya Baba Isaka Mwanzo 26:1-5, 12-13

    311. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 26:1-5, 12-13 1-5 ‘Bwana Mungu akamwambia Isaka, hakika nitakubariki kwasababu ya Ibrahimu Baba yako na ahadi zangu juu yake’.

    312. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 26:1-5, 12-13 12 ‘Naye Isaka akapanda mbegu, katika nchi ile, akapata mwaka ule, vipimo mia (100) kwa kimoja (1) na bwana akambariki’.

    313. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 26:1-5, 12-13 13 ‘Mtu huyo Isaka, akawa mkuu, akazidi kustawi, hata akawa mkuu sana’.

    314. Imani ya Ushindi na Mafanikio Mwanzo 26:1-5, 12-13 13 ‘Mtu huyo Isaka, akawa mkuu, akazidi kustawi, hata akawa mkuu sana’.

    321. Imani ya Ushindi na Mafanikio Yakobo 2:17,26 Baraka za Mungu katika maisha yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya kufanya kitu kama Kitendo cha imani ya Ushindi na Mafanikio.

    322. Uchumi na Maendeleo Kwa Mfano; Tangu Uumbaji wa Dunia Mwanzo 1:1-5, 14-19

    347. Uchumi na Maendeleo Baraka hizo za Mungu katika maisha yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya kufanya kazi na kuwa wazalisha mali (productive).

    348. Uchumi na Maendeleo Kwa Mfano; Tangu Uumbaji wa Dunia Mwanzo 2:4-15 Mwanzo 1:26-28

    349. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 2:4-15 4-5 ‘… Siku ile Mungu alipoziumba mbingu na nchi, hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga haijachipuka bado, kwasababu …’

    350. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 2:4-15 4-5 ‘… Bwana Mungu alikuwa bado hajainyeshea nchi mvua, wala hapakuwepo na mtu wa kuilima ardhi.

    351. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 1:26-28 26 ‘Mungu akasema, tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawale kila kitu tulichokiumba katika nchi’

    352. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 1:26-28 28 ‘Bwana Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya Eden, akawaambia, ‘zaeni na kuongezeka na kuitawala nchi.’

    353. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 2:4-15 15 ‘… Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Eden, ili ailime na kuitunza.

    354. Uchumi na Maendeleo Mwanzo 2:4-15 Kazi si laana, Kazi si matokeo ya dhambi, kazi ni baraka. Kabla hata dhambi haijaja duniani (kazi ilikuwepo). Tuliumbwa ili tufanya kazi.

    361. Imani ya Ushindi na Mafanikio Yakobo 2:17,26 Baraka za Mungu katika maisha yetu, zitadhihirika katika ulimwengu wa mwili (kutoka katika ulimwengu wa roho) pale tutakapochukua hatua ya kufanya kitu kama Kitendo cha imani ya Ushindi na Mafanikio.

    362. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Tano; 5. Kufanya Tendo la Imani Yakobo 2:17-18

    363. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 2:17, 26 Kwa maana, kama mwili pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo, pia imekufa.

    364. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Ibrahimu; Kubadili Majina yao, Abramu – Ibrahim Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

    365. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Nabii Eliya; Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya mvua kuonekana 1Wafalme 18:41-43

    366. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Yesu; Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya shukurani kabla ya kuona uponyaji. Luka 17:11-14-19

    367. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Mitume; Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya kuona uponyaji. Matendo 3:1-10-16

    368. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mifano Mingine mbalimbali; Kununua nepi na beseni kabla ya kuona dalili za mimba Kununua suti ya harusi kabla ya kumpata Bwana Arusi Kujenga gereji ya gari kabla ya kupata gari

    369. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hatua Muhimu ya Saba; 7. Kufanya Tendo la Imani Yakobo 2:17-18,26

    370. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 2:17, 26 Kwa maana, kama mwili pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo, pia imekufa.

    371. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Ibrahimu; Kubadili Majina yao, Abramu – Ibrahim Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

    372. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Nabii Eliya; Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya mvua kuonekana 1Wafalme 18:41-43

    373. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Yesu; Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya shukurani kabla ya kuona uponyaji. Luka 17:11-14-19

    374. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mfano wa Mitume; Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya kuona uponyaji. Matendo 3:1-10-16

    375. KUTEMBEA KWA IMANI Kwa Mifano Mingine mbalimbali; Kununua nepi na beseni kabla ya kuona dalili za mimba Kununua suti ya harusi kabla ya kumpata Bwana Arusi Kujenga gereji ya gari kabla ya kupata gari

    376. Hatua za Imani Timilifu Kulipata Neno (Warumi 10:17) Kuliatamia litokee (1Fal 18:41-45) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21) Kusifu, Kushukuru (Luka 17:11-19) Kukiri na Kushuhudia (Rum 4:17) Kuamuru na Kutabiri (Ezek 37:1-14) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1-9)

    378. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    379. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

    380. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi. Macho ya rohoni Mawazo ya ushindi Maneno ya Ushindi

    381. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kubadilisha Mtazamo Kuvaa Neno Machoni Waefeso 1:15-19

    382. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 1:15-22 ‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mpate kujua; Tumaini tulilonalo Utajiri tulionao Nguvu tulizonazo

    383. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Nabii Elisha na Mtumishi wake 2Wafalme 6:10-17  

    384. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    385. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Imani ya Baba Ibrahimu Warumi 4:16-20.  

    386. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

    387. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

    388. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

    389. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

    390. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-24. 18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko katika tumbo la Sara)

    391. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Uwezo wa Kuona Fursa mbalimbali za Kiuchumi 1Wakorintho 2:9-10, 16  

    392. KUTEMBEA KWA IMANI 1Wakorintho 2:9-10 ‘Mambo ambayo macho hayapata kuyaona, wala masikio hayajawahi kusikia, wala hayajawahi kuingia katika moyo wa mtu; mambo hayo Mungu amewahifadhia wale wampendao’

    393. KUTEMBEA KWA IMANI 1Wakorintho 2:9-10 Uwezo wa mtu kuona fursa mbalimbali za kiuchumi unategemea sana na Namna macho yako ya ndani (mind set) yalivyo.

    394. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Hajiri na Kijito cha Maji Mwanzo 21:14-20  

    395. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.

    396. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

    397. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Warumi 4:16-20 Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

    398. KUTEMBEA KWA IMANI Warumi 4:16-20 Kila mtu alimwona Sara bibi kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia vizuri na kumtaja vizuri.

    399. KUTEMBEA KWA IMANI Warumi 4:16-20 “Siri ya Ibrahimu” Baba wa Imani

    400. KUTEMBEA KWA IMANI Warumi 4:16-20 “Siri ya Baba Ibrahimu” Alimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungu. (Alivaa Mawani ya Neno)

    401. KUTEMBEA KWA IMANI Warumi 4:16-20 Kila mtu alimwona Sara bibi kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia vizuri na kumtaja vizuri.

    402. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9 Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao. 

    403. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19 Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na (3)nguvu zilizo ndani yetu.

    404. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Mambo yanayoathiri mtazamo (Sight)

    405. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) Umbali (Yakobo 4:8) Ukiwa mbali na Mungu, matatizo unayokutana nayo yataonekana makubwa, na utawaza vibaya.

    406. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 2. Mwanga (Yohana 8:12) Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na utawaza na kuongea vizuri.

    407. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 3. Lense (Warumi 4:19-20) Ukitumia Lense za Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na utawaza na kuongea vizuri.

    408. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 4. Lishe (1Petro 2:2) Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri, utakuwa na uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza na vizuri.

    409. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 5. Kimo (Waefeso 4:11-14) Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kama chakula katika maisha yako, litakupa uwezo wa kukua kimo chako kiroho na utaona tofauti na wengine, na pia utawaza na kuongea vizuri.

    410. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Musa na Wazee 70 wa Israeli. Kutoka 24:1-18

    411. 7. Ngazi (Level) ya Wito Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class ^^^ 2nd Class ^^^^^^^^^^ 3rd Class

    412. KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU NGAZI YA IMANI Waefeso 4:11-15 Usiridhike kuwa mtu wa Mungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya Mungu.

    413. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kukua katika Kimo cha Kiimani (Waefeso 4:11-14) Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na Waalimu, waumini tufundishwe na kukua, mpaka kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo .

    414. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Wanafunzi wa Yesu. Luka 6:13-16

    415. 1 (Yoh 21:19-24) 3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15) 70 (Luka 10:1,17) 120 (Mdo 1:15) 500 (1Kor 15:3-8) NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

    416. KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU NGAZI YA IMANI Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya Mungu; kwasababu Kimo chako cha kiimani, kitasababisha uwezo wako wa kuona sawasawa, uwe mzuri au mbaya.

    417. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum. Ezekiel 28:30

    418. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 6. Dawa (Ufunuo 3:15-18) Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kama dawa katika maisha yako, itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na kuongea vizuri.

    419. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) 7. Upande (1Korintho 3:1-3) Ukitumia Neno la Mungu vizuri, litakusimamisha upande wa kiroho (sio wa kimwili), hiyo itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na kuongea vizuri.

    420. KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri; Kuenenda kiroho (Katika Roho) Wagal 5:16-25, Warum 8:5-12 1Wakor 1:1-9

    421. KIROHO NA KIMWILI Rohoni Mwilini Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.

    422. (a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight) Umbali (Yakobo 4:8) Mwanga (Yohana 8:12) Lense (Warumi 13:14) Lishe (1Petro 2:2) Kimo (Waefeso 4:11-14) Dawa (Ufunuo 3:15-18) Upande (1Korintho 3:1-3)

    423. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 10. Kutembea kwa Imani Mtazamo

    424. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua ‘Kuwaza sawa na Kweli’ Mithali 23:7

    425. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

    426. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo

    427. KUTEMBEA KWA IMANI Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi. Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea namna unavyoona.

    428. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26-28 Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

    429. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho

    430. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 Zab 82:6 34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

    431. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu mdogo duniani). (Zaburi 82:6)

    432. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

    433. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu Waamuzi 6:1-16

    434. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za Mungu ndani yake.

    435. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona MTUMWA.

    436. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa ndani yake ziliingia kazini (ON).

    437. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona na kujiwazia (kitumwa).

    438. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote ya kibinadamu. Wamidian 30,000 : 300 Waisrael Wamidian 100 : 1 Waisrael

    439. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

    441. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21

    442. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, Kumbe Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).

    443. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;

    444. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.

    445. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)

    446. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

    447. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.

    448. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Knowing)

    449. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3-4 ‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani, ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za uungu.’

    460. Uwezo wa roho ya Mtu Mwili, Nafsi, Roho Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

    461. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho

    462. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu Kuona Kuelewa Kujua

    466. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21

    467. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2. Kujitambua Mawazo ya Ushindi Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

    468. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

    469. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya Bwana Yesu!

    480. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21

    481. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU (b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7 ‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’ (Rum 12:2, Efe 4:20-24)

    482. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo

    483. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 3. Kukiri Ushindi Kutamka maneno ya Baraka Yoh 6:63, Mith 18:20-21

    484. Kutembea na nguvu za Mungu Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na kuona vizuri. Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

    485. Kutembea na nguvu za Mungu (3) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2

    486. Kutembea na nguvu za Mungu Mawazo Mtazamo Maneno

    487. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu

    488. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waebrania 4:12 “Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

    490. NGUVU YA NENO 2Kor 3:6, Yoh 6:63 ‘Andiko linauwa, lakini Roho anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni Uzima; kwasababu’

    491. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17

    492. NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 ‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.’

    493. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

    494. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Maneno yangu ni Roho nayo ndio Uzima’

    495. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoeli 3:10 Yeye aliye dhaifu, na aseme mimi ni hodari. (aliye dhaifu, asikiri udhaifu wake, bali akiri ushindi, kama njia ya kubadili au kuondoa udhaifu wake).

    496. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Wakolosai 3:16 Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.

    497. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waefeso 4:29 Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo jema, la kumfaa msikiaji.

    509. NGUVU LA NENO LA MUNGU Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi ndani yako.

    510. Mafundisho Mengine Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive Dar es Salaam.

    511. Kwa mawasiliano zaidi, Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry) P. O. Box 837, Dar es Salaam, Tanzania. +255 713 497 654 +255 783 497 654 mgisamtebe@yahoo.com www.mgisamtebe

More Related